Skip to main content
Skip to main content

Wakazi wa Chepkumia na Yala waitaka serikali kusambaza intaneti

  • | Citizen TV
    363 views
    Duration: 2:02
    Kadri matumizi ya mtandao wa intaneti yanavyozidi kuongezeka, wakazi wa vijiji vya Chepkumia na Yala katika Kaunti ya Nandi wanaiomba serikali pamoja na wahisani kuwaletea huduma za intaneti za bure au kwa gharama nafuu.