Skip to main content
Skip to main content

Wakazi wa Kambiti na Maranjau walalamikia ubovu wa barabara

  • | Citizen TV
    341 views
    Duration: 1:46
    Wakazi wa Kambiti na Maranjau katika Eneo bunge la Maragua, Kaunti ya Murang'a, wameelezea ghadhabu yao kufuatia hali mbaya ya barabara inayounganisha maeneo hayo, wakisema wameachwa nyuma kimaendeleo kutokana na miundombinu duni.