Wakazi wa kijiji cha Muthitwa, Tharaka Nithi wanamtaka mbunge Murugara kutimiza ahadi zake

  • | Citizen TV
    477 views

    Wakaazi wa kijiji cha Muthitwa, kilichoko katika Kaunti ya Tharaka Nithi, wamejitokeza kwa wingi kumkumbusha Mbunge wa Tharaka, Gitonga Murugara, kuhusu ahadi aliyotoa ya kuwasambazia umeme. Wanasema kuwa kwa zaidi ya miaka saba, wamekuwa wakisubiri utekelezaji wa ahadi hiyo bila mafanikio yoyote.