Skip to main content
Skip to main content

Wakazi wa Manda kaunti ya Lamu walalamika elimu, usafiri na utalii watatizwa na wanyama pori

  • | Citizen TV
    48 views
    Shughuli za elimu,kilimo na usafiri zimeendelea kuathirika Kisiwa cha Manda kaunti ya lamu kwa sababu ya wanyama pori wanaojumuisha nyati zaidi ya 500,chui,fisi na, mbwa mwitu katika Kisiwa hicho cha Manda.