Skip to main content
Skip to main content

Wakazi wanaoishi maeneo ya chini Nairobi waagizwa kuhama

  • | Citizen TV
    4,076 views
    Wakazi wanaoishi maeneo ya chini ya bwawa la Nairobi sasa wameagizwa kuhama kufuatia kujaa kwa viwango vya maji. Mamlaka ya rasilimali za maji imetoa ilani hii ikiwataka wakaazi hao kuhamia maeneo salama.