- 560 viewsDuration: 2:52Zaidi ya Wakenya milioni mbili wameathirka na ukame, huku kaunti kumi na moja zikwa katika orodha ya uhitaji mkubwa wa chakula na maji. Kulingana na shirika la msalaba mwekundu, zaidi ya watoto laki saba wanaugua utapiamlo kutokana na ukame nchini. Baadhi ya viongozi sasa wanamtaka rais William Ruto kutangaza ukame kama janga la kitaifa ili kuokoa mamilioni ya wakenya kutoka kwa makali ya njaa