- 110 viewsWakenya milioni 3.3 kutoka kaunti 23, wako kwenye hatari ya njaa huku kaunti za Wajir, Mandera, Kwale na Kilifi zikiwa katika hali mbaya zaidi. Naibu Rais Profesa Kithure Kindiki, aliyeongoza kikao cha kutathmini mikakati ya kukabiliana na hali hii akitangaza kutolewa kwa shilingi bilioni nne zaidi, kufanikisha mpango huo.