Skip to main content
Skip to main content

Wakenya wahimizwa kushiriki zoezi la kupanda miti Ijumaa

  • | Citizen TV
    1,076 views
    Duration: 2:16
    Wakenya wameombwa kurudi katika shule za msingi walizosomea siku kuu ya Mazingira ambayo ni Ijumaa, ili kufanikisha shughuli za upanzi wa Miche ya matunda kwa ufadhili na upanzi wa Miche ya matunda milioni 100. Shughuli hiyo ya upanzi wa miti itaongozwa na maafisa wa serikali wa nyanjani.