- 29,399 viewsDuration: 2:46Mamia ya wakenya waliokuwa wamekwama Dubai kufuatia mgogoro unaoendelea baada ya mashambulizi ya Marekani na Israel nchini Iran wamewasili nchini adhuhuri ya leo. Ndege ya Kenya Airways iliyokuwa imewabeba wakenya hao wakiwemo wanafunzi waliokuwa ziarani katika himaya ya milki za kiarabu. Brenda Wanga anaarifu zaidi