Skip to main content
Skip to main content

Wakimbizi 2,260 wanaoishi kambi za Kakuma na Kalobeyei wafuzu kwa elimu ya teknolojia ya mtandao

  • | Citizen TV
    306 views
    Duration: 1:39
    Mahafala 2,260 wanaoishi katika kambi ya wakimbizi ya Kakuma na Kalobeyei Turkana wamefuzu kuwa wataalamu wa teknolojia ya mtandao baada ya kupokea mafunzo kutoka chuo cha ufundi cha Don Bosco Kakuma.