Skip to main content
Skip to main content

Wakimbizi wa ndani wanaoishi na jamii zao Kitale wataka fidia

  • | Citizen TV
    253 views
    Duration: 2:11
    Siku chache baada ya Rais William Ruto kutangaza mpango wa kusaidia familia 900 za wakimbizi kwa kuwapatia shilingi milioni 18 ili warejee katika mashamba ya Ndonga na Kisima yaliyoko eneo la Lanet, Kaunti ya Nakuru, vuguvugu la wakimbizi wapatao 250,000 wanaoishi miongoni mwa jamii katika kaunti 22 limejitokeza kutoa ombi maalum kwa serikali.