Skip to main content
Skip to main content

Wakulima Moiben kaunti ya Uasin Gishu wapewa mafunzo ya kilimo

  • | Citizen TV
    451 views
    Duration: 3:06
    Wakulima kutoka eneo la Moiben kaunti ya Uasin Gishu wamepewa mafunzo maalum ya kilimo biashara na umuhimu wa kutumia teknolojia ili wapate mazao maradufu. Mafunzo haya yalitolewa kwenye kongamano la wakulima lililoanza hapo jana