Skip to main content
Skip to main content

Wakulima wa miwa wanadai kushurutishwa kupeleka miwa yao Nzoia

  • | Citizen TV
    92 views
    Wakulima wa miwa kutoka eneo Bunge la bumula katika kaunti ya Bungoma sasa wanaitaka serikali kuingilia Kati Na kutatua zogo linalokumba sekta hiyo.