- 226 viewsDuration: 3:18Wakulima katika kaunti za Uasin Gishu, Trans Nzoia na Elgeyo Marakwet wanahofia kuwa huenda msimu wa upanzi ukaathirika kufuatia ukosefu wa mbolea ya ruzuku. Foleni ndefu za wakulima zimeshuhudiwa kwenye maghala ya hamla shauri ya nafaka na mazao katika maeneo mbalimbali huku baadhi wakilalamikia kukosa mbolea kwa zaidi ya wiki moja.