Skip to main content
Skip to main content

Walemavu Kajiado wahamasishwa kuhusu kupigania haki zao

  • | Citizen TV
    160 views
    Duration: 2:43
    Mashirika yasiyo serikali yameanzisha mpango wa mafunzo maalum kwa watu wenye ulemavu katika kaunti ya Kajiado, ili kuwasaidia kupigania haki zao na kujikimu kiuchumi.