Walimu Kisumu wawasha mishumaa kumkumbuka Albert Ojwang’ aliyeuawa kikatili

  • | NTV Video
    3,091 views

    Huku uchunguzi wa mauaji ya mwalimu Albert Ojwang ukiendelea, walimu kutoka kaunti ya Kisumu wakiongozwa muungano wao wa Kuppet wamewasha mishumaa kama kumbukumbu ya mmoja wao ambaye aliaga dunia kwa njia ya kutatanisha.

    Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows.

    Website: ntvkenya.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya