Skip to main content
Skip to main content

Walimu wa Sekondari msingi wataka waongezewe mshahara

  • | Citizen TV
    624 views
    Duration: 1:55
    Walimu wa sekondari msingi (JSS) kaunti ya Nairobi wanaitaka serikali kuwaongezea mshahara wakisema mshahara wa sasa wa shilingi 17,000 haukithi mahitaji yao hata ya kimsingi jijini.