- 7 views
Walimu wakuu wa shule za upili za umma wanatarajiwa kufika mbele ya kamati ya bunge ya elimu na utawala ili kujibu maswali yaliyoibuliwa na ukaguzi wa matumizi ya fedha katika shule hizo. Hii ni baada ya mhasibu mkuu wa serikali kuahidi kuwasilisha bungeni ripoti za ukaguzi wa matumizi ya fedha katika shule 450 za upili za umma katika muda wa wiki mbili zijazo kwa uchunguzi zaidi. Mwenyekiti wa kamati ya bunge ya uwekezaji wa umma kuhusu elimu na utawala Wanami Wamboka amesema kamati hiyo itaanza kwa kuzingatia ripoti za ukaguzi wa shule za upili za kitaifa. Mhasibu mkuu wa serikali Nancy Gathungu alikutana na kamati leo ambapo alisema shule zote 9,000 za sekondari za umma zitakaguliwa.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Walimu wakuu wa shule za upili za umma kuhojiwa na bunge
- - Duniani Leo ››
- - Duniani Leo ››
- 1 Jul 2025 - More than 14 million of the world's most vulnerable people, a third of them small children, could die because of the Trump administration's dismantling of US foreign aid, research projected on Tuesday.
- 1 Jul 2025 - Bangladesh on July 1 marks one year since students launched protests that culminated weeks later in the overthrow of the government.
- 1 Jul 2025 - A middle-aged man shocked an Eldoret court after confessing that he deals in bhang business as his only source of income.
- 1 Jul 2025 - Cameroon's Tourism Minister Bello Bouba Maigari has accepted his party's nomination to seek the presidency in an expected October election, with long-serving President Paul Biya yet to announce whether he plans to run for reelection.
- 1 Jul 2025 - KEBS has received several complaints.
- 1 Jul 2025 - The bill is "utterly insane and destructive". — Elon Musk
- 1 Jul 2025 - Police said they are investigating to establish whether the man drowned or was killed and dumped there.
- 1 Jul 2025 - The woman had a stab wound in the head.
- 1 Jul 2025 - His quest for freedom has been denied at the High Court and Court of Appeal.
- 1 Jul 2025 - Usaid-funded programs have prevented more than 91 million deaths globally, including 30 million deaths among children.