Skip to main content
Skip to main content

Walimu walalamika bima ya afya ya SHA, wanatoa ilani ya mgomo

  • | Citizen TV
    488 views
    Duration: 3:00
    Muungano wa walimu wa shule za upili nchini kuppet, umetoa ilani ya siku saba ya mgomo wakilalamikia mpango wa bima ya afya ya sha. Walimu hawa wanasema kuwa wamehangaika tangu walipohamishwa kwenye bima hii ya serikali. Wanalalamikia miongoni mwa matatizo mengine gharama ya chini ya matibabu, hitilafu za mara kwa mara na hospitali chache zinazotoa huduma kwao.