- 26 views
Wananchi ni miongoni mwa washinde katika mapendekezo ya bajeti ya mwaka huu kufuatia nyongeza ya ushuru wa thamani kwa bidhaa za mafuta kutoka asilimia 8 hadi asilimia 16, inayotarajiwa kuathiri bei za bidhaa na utoaji huduma. Waziri wa fedha Profesa Njuguna Ndung’u ameongeza mifumo mitatu ya ushuru kwa wale wanaopokea mshahara wa kati ya shilingi elfu 18 na elfu 24 ambao hawakuwa wakitozwa ushuru huo lakini sasa watatozwa ushuru. Wanaopokea mshahara wa zaidi ya nusu milioni ambao walikuwa wakilipa asilimia 30 ya ushuru wa mshahara, sasa watalipa asilimia 32 ilhali wanaopokea zaidi ya shilingi laki 8 watatozwa ushuru wa asilimia 35.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channell: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1news Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #budget2023 #darubini
Walioathirika na Bajeti I Wapenzi wa kamari na vileo wakikaza kamba kiunoni
- 1 May 2024 - The Kenya National Highways Authority (KENHA) has announced partial closure of the Thika Superhighway at the Kahawa Sukari drift.
- 1 May 2024 - The Kenya National Highways Authority (KeNHA) has announced the immediate closure of the Athi River - Namanga Road due to massive flooding at Kimalat area following heavy downpour in the area.
- 1 May 2024 - The bodies of seven people who have drowned in various counties during the ongoing rains were found on Tuesday, while a search for two more is still ongoing.
- 1 May 2024 - The Council of Governors (COG) Chairperson, Anne Waiguru has urged Constitutional and Independent Offices to prioritize the protection of devolution in their constitutional duties.
- 1 May 2024 - As the nation celebrates the struggle for workers and the gains made in achieving labour rights, workers in the healthcare sector are still finding it hard to wear a grin.
- 1 May 2024 - At least three roads within Nairobi Metropolis have been partially closed and traffic redirected after they were flooded following heavy rains on Tuesday night.
- 1 May 2024 - A middle-aged woman has died after a 4-storey building under construction collapsed in Karia area, Kirinyaga County.
- 1 May 2024 - The directive was issued following heavy rains that rendered the section impassable.
- 1 May 2024 - Ndung'u said the authority will continue to monitor the water levels and advise when it subsides.
- 1 May 2024 - Six people were rescued on Wednesday morning after floods rocked homesteads in Kitengela, Kajado County following a heavy downpour.