Shule ambayo imekuwa ikibobea katika mchezo wa kandanda eneo la Nyanza, shule ya wasichana ya Nyakach imethibitisha kuwa si mabingwa kwa michezo pekee bali kwa elimu pia baada ya kunakili matokeo bora katika mtihani wa kitaifa wa kidato cha nne yaliyotangazwa hivi punde. Wanafunzi 650 kati ya 659 waliofanya mtihani huo wa kitaifa mwaka jana katika shule hiyo, wamefuzu kwenda chuo kikuu. Shule hiyo pia imeboresha alama yake ya wastani kutoka 7 hadi 9. Achola Simon anaarifu.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive