- 5,816 viewsDuration: 1:28Hatua ya Marekani ya kuweka masharti mapya ya usafiri kwa watu wanaotoka maeneo yaliyoathiriwa na Ebola imewaathiri wafanyakazi saba wa misaada waliokuwa wakifanya kazi DR Congo. Wafanyakazi hao sasa wamewekwa karantini nchini Kenya katika kituo ambacho kimezua utata mkubwa wa kisheria na kisiasa. Mwandishi wa BBC, @mrs.tadicha na taarifa zaidi: - - #bbcswahili #Ebola #DRC #kenya #marekani🇺🇸 Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw