Skip to main content
Skip to main content

Wanafunzi kutoka Kajiado kuwakilisha Kenya nchini Ghana katika mashindano

  • | Citizen TV
    674 views
    Duration: 1:06
    Wanafunzi 26 kutoka maeneo mbali mbali ya Kaunti ya Kajiado watawakilisha Kenya kwenye mashindano ya Roboti yatakayoandaliwa kwanzia tarehe 26 hadi 27 mwezi huu katika jiji la Accra Nchini Ghana.