- 56 views
Ukosefu wa sodo ni mojawapo ya vikwazo vinavyoathiri pakubwa wasichana wanaoishi katika umasikini katika kaunti ya Siaya, idadi yao kubwa ikilazimika kusalia nyumbani punde wanapoanza kupata hedhi. Hata hivyo zaidi ya wanafunzi 1500 kutoka shule mbalimbali za wasichana na za kutwa katika kaunti hiyo wanasababu ya kutabasamu baada ya baadhi ya mashirika ya kijamii kushirikiana kuzindua mpango wa kuwapa sodo wasichana wanaotoka familia zisizojiweza. Akizungumza katika shule ya wasichana ya Sinaga, mkurugenzi mkuu wa Together for Better Foundation, Aruna Varsani, ameeleza kuwa tayari zaidi ya wasichana elfu thelathini kaunti nyingine 24 wamenufaika na mpango huo uliaonzishwa mwaka wa 2020. Shughuli hiyo inayotarajiwa kufanyika kwa wiki moja inalenga kuwapa mafunzo wanafunzi hao kuhusu usafi wa hedhi.
Wanafunzi wa kike huko Siaya watatizika na ukosefu wa sodo
- 8 Jul 2025 - President William Ruto has expressed Kenya's commitment to combat the escalating global climate crisis.
- 8 Jul 2025 - Seven suspects accused of leading the arson attack on Mawego Police Station in Homa Bay County during protests over the death of blogger Albert Ojwang have been arraigned before the Oyugis Law Courts.
- 8 Jul 2025 - The Director of Public Prosecutions (DPP) has approved terrorism charges against 37 individuals arraigned at the Kahawa Law Courts, including Peter Kinyanjui Wanjiru, alias Kawanjiru, and Serah Wanjiku Thiga.
- 8 Jul 2025 - Deputy President Kithure Kindiki has said the government is enhancing partnerships with global technology companies to create more job opportunities for the youth.
- 8 Jul 2025 - The government has launched a fresh crackdown targeting foreign nationals from Burundi, Rwanda, the Democratic Republic of Congo (DRC), and Uganda’s Wagisu community residing in West Pokot County, over suspected involvement in cannibalism and human organ…
- 8 Jul 2025 - Nairobi Environment Chief Officer Geoffrey Mosiria has strongly refuted claims that he is merely a content creator chasing
- 8 Jul 2025 - The Directorate of Criminal Investigations (DCI) has requested the court to grant them more days to complete the
- 8 Jul 2025 - 36 suspects were arraigned on Tuesday at the Eldoret law court with charges of being in possession of weapons in public contrary to section 88 of the penal code.
- 8 Jul 2025 - Nominated Senator Karen Nyamu strongly condemned the impeachment motion brought before the Senate against Isiolo Governor Abdi Ibrahim
- 8 Jul 2025 - The European nation announced plans to increase its diplomatic presence abroad to four more countries in 2023.