Wanafunzi wa Kitivo cha Sayansi ya Afya walalamika kuhusu matokeo ya mitihani

  • | Citizen TV
    98 views

    Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Nairobi, Kitivo Cha Sayansi ya afya, wametamaushwa na hali ya kucheleweshwa kwa matokeo ya mitihani yao licha ya kuhidiwa kuwa yangetolewa Julai 15.