Skip to main content
Skip to main content

Wanafunzi wa Kitivo cha Sayansi ya Afya walalamika kuhusu matokeo ya mitihani

  • | Citizen TV
    308 views
    Duration: 1:43
    Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Nairobi, Kitivo Cha Sayansi ya afya, wametamaushwa na hali ya kucheleweshwa kwa matokeo ya mitihani yao licha ya kuhidiwa kuwa yangetolewa Julai 15.