- 16 views
Wanafunzi watano kutoka shule za humu nchini wanawakilisha Kenya kwenye makala ya 65 ya shindano la kimataifa la hisabati al-maarufu Mathematical Olympiad-IMO ambalo hufanyika kwa awamu kila mwaka katika nchi tofauti.Wanafunzi hao Cynthia Kathomi Mworia, Master Gilbert Ongoro, Tony Rotich Odhiambo, Alfred Githui Muriu na Lenny Muriungi Mutuma wanatoka shule za upili humu nchini. Shindano hili limeandaliwa katika chuo kikuu cha Bath nchini Uingereza na litafikia tamati tarehe-22 mwezi huu. Naibu mshirikishi wa kitengo cha sayansi, teknolojia ya uhandisi na hisabati katika kituo cha masomo ya Hisabati, Sayansi na Teknolojia barani Afrika-CEMASTEA, Martin Mungai ameelezea imani yake kuwa wanafunzi hao watapeperusha bendera ya Kenya.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Wanafunzi watano wanawakilisha Kenya kwenye shindano la kimataifa la hisabati
- - Road to CHAN 2024 ››
- - World first aid day ››
- 12 Jul 2025 - Clinicians in Machakos County have officially called off a planned strike just two hours before its scheduled commencement, which was to start at midnight on Saturday.
- 12 Jul 2025 - Nyachae had previously been shortlisted to become the new chair of the IEBC.
- 12 Jul 2025 - Iranian authorities carried out on Saturday a public execution of a man convicted of raping and murdering a young girl, the judiciary said.
- 12 Jul 2025 - There was no proof of the allegations that the land was a road reserve or public property.
- 12 Jul 2025 - Julia Njoki was arrested on July 7 during nationwide protests against police violence and government corruption, held on the anniversary of Saba Saba Day, which commemorates Kenya’s struggle for multi-party democracy.
- 12 Jul 2025 - Karua has been in politics for close to three decades.
- 12 Jul 2025 - It was a witty moment when Dorcas Gachagua, the spouse of the former Deputy President and a well-known
- 12 Jul 2025 - Her sentiments come in the wake of the heightened youth killings.
- 12 Jul 2025 - George Maina Muriithi is accused of luring a businessman in October 2022 with a fake investment deal, claiming to sell 48,800 shares in the lodge company at Sh1,000 each.
- 12 Jul 2025 - The Families of War Veterans who fought for independence through the Dini ya Msambwa from Western Kenya are asking for compensation from the government and colonialists. The Families have decried being neglected and forgotten, despite the legacy of…