Skip to main content
Skip to main content

Wanaharakati wataka mahakama ya watoto ibuniwe Garissa

  • | Citizen TV
    540 views
    Duration: 1:57
    Watetezi wa haki za binadamu wamefanya matembezi ya amani hadi katika mahakama kuu ya Garissa kuwasilisha mapendekezo ya kukabiliana na dhulma za kijinsia katika kaunti hiyo.