Skip to main content
Skip to main content

Wanajeshi wa China na Ufilipino wakabiliana bahari ya China

  • | BBC Swahili
    15,482 views
    Duration: 1:31
    China na Ufilipino zimezozana na kulaumiana baada ya kutokea tukio la kugombana kati ya vikosi vyao vya baharini katika eneo la Bahari ya China Kusini ambalo nchi zote mbili zinadai kuwa ni lao Victor Kenan anaelezea #bbcswahili #china #ufilipino Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw