Wanajeshi watatu wa Kenya wauawa Lamu kwenye shambulizi la kilipuzi

  • | Citizen TV
    5,557 views

    Wanajeshi watatu wa Kenya wameuawa, huku wengine saba wakiwachwa na majeraha mabaya mwilini, baada ya gari walimokuwa wakisafiria kukanyanga kilipuzi eneo la Badaah, kaunti ya Lamu.