20 Jul 2026 10:31 am | Citizen TV 1,293 views Duration: 1:50 Baadhi ya wanasiasa wa kaunti ya Kakamega wameendeleza shinikizo la kutaka raisWilliam Ruto kumchagua waziri wa mashirika wycliffe oparanya kuwa mgombea mwenza kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka ujao