- 2,922 viewsDuration: 3:06Wanasiasa wamefanya mikutano katika maeneo mbalimbali ya Nairobi, huku mkutano mkuu ukiandaliwa katika Uwanja wa Jacaranda. Sifuna na Orengo wamesema mgombea mmoja atateuliwa, huku mamia ya wakazi wakijitokeza kushiriki shughuli hizo.