- 283 viewsMwanamke wa Kipalestina aliyejitambulisha kwa jina moja Maryam ambaye ndugu yake aliuawa anaeleza huzuni yake kufuatia shambulizi la mabomu. Sikiliza anachosema Watu wote wanaoishi jirani waliondoka, lakini yeye hakuweza kuondoka. Hawakutegemea hili. Hawana kitu chochote, walikuwa salama. Walikuwa hawana kitu. Lilimuangukia na kuwaangukia watoto wake, watoto hawa wamefanya nini kustahili kuwasibu hili? Hawakufanya kitu. Wacha nchi za Kiarabu waone na Israel ione hilo, wacha Marekani iwe na furaha, pia nchi zilizobakia duniani, wakati sisi tunaishi katika vita hivi, njaa na kupigwa mabomu. Amefanya nini kustahili kupatwa na hili? Alikuwa amelala na watoto wake kwa amani, nini watoto hawa wamefanya kustahili kupatwa na hili? Ni kitendo cha aibu wanachofanya.” #Haifa #waelaldahdouh #hamzaaldahdouh #shirikalamwezimwekundu #Rafah #Netanyahu #Misri #Hamas #Gaza #Palestina #IDF #GalMeirEizenkot #mauaji #jeshi #israel #voa #voaswahili
Wanawake wa Kipalestina wakilia pembeni ya miili ya wapendwa wao
- - Elimu bila mipaka ››
- 11 Aug 2025 - The British High Commissioner to Kenya, Neil Wigan is set to depart Kenya at the end of August marking an end to his 2 year tenure at the position.
- 11 Aug 2025 - Police in Eldoret have commenced investigations into an incident where a man received a parcel with three human fingers enclosed with six bullets.
- 11 Aug 2025 - Police in Eldoret have commenced investigations into an incident where a man received a parcel with three human fingers enclosed with six bullets.
- 11 Aug 2025 - Deputy Inspector General (DIG) of Police Eliud Lagat argues that the decision on whether to charge him over the death of blogger Albert Omondi Ojwang lies exclusively with the Director of Public Prosecutions (DPP) and not the courts.
- 11 Aug 2025 - The exposé contained footage allegedly showing minors being recruited into commercial sex work in Mai Mahiu
- 11 Aug 2025 - The ticketing malady witnessed in the ongoing CHAN 2024 competitions in Kenya has attracted censures from political leaders as many question the transparency of allowing football fans to secure tickets.
- 11 Aug 2025 - The clip of the assault went viral over the weekend.
- 11 Aug 2025 - "I am extremely sorry to be leaving Kenya after a whirlwind two years," Wigan said.
- 11 Aug 2025 - Several adverts have been posted online.
- 11 Aug 2025 - Mexico City's Benito Juarez International Airport suspended operations for several hours Sunday after heavy rains flooded the capital and caused poor visibility, authorities said.