- 12 views
Shirika la kuhifadhi wanyama pori-KWS limeanza shughuli ya kuwaweka alama na vifaa vya kielektroniki vifaru katika mbuga ya kitaifa ya Tsavo ili kulinda idadi ya wanyama hao. Teknolojia hiyo inanuiwa kutambua na kuwalinda vifaru katika mbuga hiyo dhidi ya uwindaji haramu na kupotea kwa makazi yao.Akigusia shughuli hiyo, waziri wa utalii na wanyama pori Rebeca Miano amekariri umuhimu wake akisema takwimu zitakazokusanywa zitasaidia kutekeleza mkakati wa mwaka-2022/2026 wa kuhifadhi vifaru weusi. Aidha, waziri Miano amesema teknolojia hiyo itarahisisha kufuatilia mienendo ya vifaru na kuhakikisha wanalindwa ipasavyo.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Wanyama wawekwa alama mbuga ya Tsavo
- - MITINDO YA KIPWANI ››
- - Outro ››
- 18 May 2025 - The areas will face power cuts at diverse times between 8 am and 5 pm
- 18 May 2025 - Several leaders have labelled Gachagua's remarks as 'careless' and 'reckless'.
- 18 May 2025 - The seat demands loyalty, political tact, organisational skills and ability to withstand relentless pressure of opposition politics.
- 18 May 2025 - This is not the first time the popular thrift market has caught on fire.
- 18 May 2025 - Interior CS warns former DP against making remarks that could plunge the country into a crisis.
- 18 May 2025 - Amnesty report exposes systemic racism and brutal mistreatment.
- 18 May 2025 - Here is what you need to know to get up to speed with today’s happenings. Condemnation of Gachagua Leaders allied to the government are expected to continue condemning former Deputy President Rigathi Gachagua over his recent remarks on the 2027…
- 18 May 2025 - Health Cabinet Secretary (CS) Aden Duale has slammed former Deputy President Rigathi Gachagua’s political party and accused him of plotting division in the country. The CS who was speaking during a cultural festival in Garissa on Saturday, May 17, 2025…
- 18 May 2025 - Elisha Asumo was arrested in Morocco, is accused of having links to the Jalisco Nueva Generación cartel.
- 18 May 2025 - The aircraft were foreign-registered civilian helicopters.