Wapalestina wakibeba miili ya wale waliouawa katika shambulizi la anga la Israeli huko Gaza
Wapalestina wakiwa wamebeba miili ya wale waliouawa katika shambulizi la anga lililofanywa na Israeli katika Gaza, kufuatia shambulizi la kushtukiza lililofanywa na kikundi cha Kiislam cha Hamas dhidi ya Israeli Jumamosi (Oktoba 7).
Maafisa wa afya wa Gaza walisema Wapalestina 198 waliuawa katika shambulizi la anga wakati mabomu yalipopiga ndani ya mji wa Gaza City, na kusambaza moshi mweusi uliotanda angani.
Hamas walifanya shambulizi kubwa kabisa ndani ya Israeli lililokuwa halijawahi kutokea Jumamosi, na kuua watu zaidi ya 300 na kujeruhi mamia wengine katika shambulizi la kushtukiza lililohusisha watu wenye silaha waliovuka mpaka kuingia Israeli huku roketi kadhaa zikifyatuliwa kutoka Gaza.
Shambulizi hilo liliweka historia ya uvamizi uliokuwa haujawahi kutokea ndani ya Israeli lililofanywa na idadi isiyojulikana ya wanamgambo wa Hamas wenye silaha waliovuka mpaka kutoka Ukanda wa Gaza, na kuwa pigo kubwa kwa Israeli katika mgogoro wao na Palestina tangu mashambulizi ya kujitoa mhanga ya Intifada ya Pili miongo miwili iliyopita.
#israel #gaza #reels #igreels #videography #voa #hamas
2 May 2024
- The over 20 tenants were asked to take refuge at a nearby church.
2 May 2024
- The statement issued by the government spokesperson, Isaac Mwaura on Wednesday.
2 May 2024
- The President and Cabinet Secretaries were briefed on measures to protect Kenyans from the floods that have rocked most parts of the country.
2 May 2024
- A court assistant in Migori County is set to face charges for allegedly demanding a bribe in order to help an accused person secure a lighter sentence in a criminal case.
2 May 2024
- The National Transport and Safety Authority (NTSA) has revoked the licences of 64 Public Transport Operators (PTOs) plying various routes across the country.
2 May 2024
- Daring Africa 2024, Nissan’s overland adventure across eight countries with four Nissan Navara pick-ups and an X-Trail SUV, has completed its Kenya leg, the expedition’s penultimate stop before transitioning to Egypt.
2 May 2024
- Motion for the impeachment of Nakuru County Secretary Dr Samwel Mwaura, tabled by Menengai East Member of County Assembly Wilson Mwangi split the House on Thursday.
2 May 2024
- Royal Media Services (RMS)-owned television, radio and digital platforms continue to lead Kenya’s media landscape, according to the latest findings by the Media Council of Kenya (MCK).
2 May 2024
- The over 20 tenants were asked to take refuge at a nearby church.
2 May 2024
- Three Senior officials of the National Cereals and Produce Board (NCPB) have been arraigned in court, waiting to be charged before the Anti-corruption magistrate.
2 May 2024
- A majority of Kenyans do not support the ongoing doctors’ strike which entered its 50th day on Thursday, a new poll by research firm TIFA shows.
2 May 2024
- Reading Time: 2 minutes Amid the ongoing flooding crisis in Kenya, the Government of the United Arab Emirates (UAE) has taken action by dispatching […]
2 May 2024
- The statement issued by the government spokesperson, Isaac Mwaura on Wednesday.