Skip to main content
Skip to main content

Washikadau wa soka katika Mombasa wamepongeza hatua ya serikali kuzindua ujenzi wa uwanja

  • | Citizen TV
    168 views
    Duration: 1:39
    Washikadau wa soka katika kaunti ya mombasa wamepongeza hatua ya serikali kuu kuingilia kati na hatimaye kuufufua ujenzi wa uwanja wa mombasa municipal stadium, ambao umekwama kwa zaidi ya miaka kumi na tano.