Skip to main content
Skip to main content

Washukiwa 6 waliokamatwa Mombasa kuzuiliwa kwa siku 30

  • | Citizen TV
    1,039 views
    Duration: 1:22
    Mahakama ya Shanzu imeagiza washukiwa sita wa ulanguzi wa dawa ya kulevya zenye thamani ya shilingi bilioni 8.2 kusalia korokoroni kwa siku 30 ili kuwezesha uchunguzi kukamilika.