- 52 views
Polisi mjini Nakuru wamewakamata washukiwa saba na kupata bunduki aina ya AK-47 kufuatia kisa cha ufyatuaji risasi kilichosababisha kifo cha afisa mmoja wa polisi na kuwaacha wengine wawili wakiuguza majeraha mabaya ya risasi. Kamishna wa Kaunti ya Nakuru Loyford Kibaara anasema afisa huyo aliuawa wakati wa makabiliano ya risasi na wahalifu waliokuwa wamejihami siku ya Jumapili katika eneo la Bondeni. Makabiliano hayo yalitokea wakati polisi walipokuwa wakilifuata genge la wahalifu wanaoaminika kuhusika na visa vya uhalifu katika eneo hilo.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Washukiwa saba wakamatwa baada ya ufyatulianaji risasi Nakuru
- 4 Jun 2025 - Ebel Ochieng Kalo, a Lake Basin Development Authority (LBDA) board member and prominent UDA official, is currently in custody in connection with the murder of Kasipul MP Charles Were.
- 4 Jun 2025 - The National Environment Management Authority (NEMA) has written to the Kenya Pipeline Company (KPC) demanding immediate action over the long-drawn restoration following an oil spill in Thange, Makueni County.
- 4 Jun 2025 - The meeting, held against the backdrop of escalating internal conflict within the ruling United Democratic Alliance (UDA), focused on the status of ongoing national government projects and interventions to protect key agricultural value chains in the…
- 4 Jun 2025 - KeNHA's assessment will provide a way forward for the crucial highway.
- 4 Jun 2025 - The double tariffs come barely three months after the US had imposed 10% Tariff on Kenyan Exports following AGOA's nearing expiry.
- 4 Jun 2025 - According to the DCI, the arrest follow an investigation of a robbery incident involving stolen truck in Ikanga area.
- 4 Jun 2025 - The High Court has directed two suspects in the murder of Kasipul MP Charles Were to undergo mental assessment.
- 4 Jun 2025 - Kitui East Member of Parliament (MP) Nimrod Mbai has fired a warning against insulting President William Ruto within his constituency, hinting at dire ramifications.
- 4 Jun 2025 - “There's absolutely no problem and we are all focused on delivering to the people of Embu.”
- 4 Jun 2025 - “It must be a clean sweep here in Dagoretti and Kikuyu. Those supporting UDA are not with us."