Skip to main content
Skip to main content

Washukiwa wanne wa wizi wa mabavu, akiwemo afisa wa zamani wa polisi, wakamatwa Nairobi

  • | Citizen TV
    3,773 views
    Duration: 3:08
    Maafisa wa upelelezi hapa Nairobi wamewakamata washukiwa wanne wa wizi wa mabavu na utekaji nyara ambao wamekuwa wakitafutwa kwa miezi mitatu. Maafisa wa kituo cha polisi cha Kilimani na Kasarani wakiwakamata washukiwa hawa wakijumuisha maafisa wa zamani wa polisi.