- 6,607 viewsDuration: 1:37Florence Amunga ni mwathirika wa vurugu za baada ya uchaguzi wa mwaka 2007 nchini Kenya ambaye nyumba yake ilichomwa moto akiwa amelala na watoto wake ndani. Alipoteza watoto wake kwa moto huo huku yeye mwenyewe akipata majeraha mabaya. - Mwandishi wa BBC Asha Juma alizungumza naye. - Kutazama kwa urefu mahojiano haya tembelea ukurasa wa BBCSwahili YouTube - - - #bbcswahili #kenya #waridiwabbc #uchaguzi2007 #wanawake Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw