- 470 viewsSiku ya Jumanne (Desemba 10), Vikosi vya Rapid Support Forces - RSF, vilishambulia kwa mizinga mizito katika eneo linalodhibitiwa na jeshi huko Omdurman, sehemu ya jimbo la Khartoum, kulingana na wakazi. Mawakili wa dharura walisema siyo chini ya watu 20 waliuwawa, wakiwemo angalau watu 14 ambao walikuwa ndani ya basi ambao lilipigwa. Serikali ya jimbo hilo, inayodhibitiwa na jeshi, ilisema watu 65 walikuwa wameuwawa, na majeruhi wengine kadhaa walihamishiwa katika hospitali ya karibu ya Al-Naw. Miili iliyohifadhiwa katika mifuko iliwasili hospitali wakati waliojeruhiwa walikaguliwa na gavana wa Khartoum Ahmed Osman Hamza. Wanaharakati wa kutetea haki walisema takriban watu 127, wengi wao raia, wameuwawa nchini Sudan Jumatatu na Jumanne kutokana na mapipa ya mabomu na mashambulizi ya makombora kutoka pande zote zinazopigana. Miezi 20 ya vita kati ya jeshi na wanajeshi wa Rapid Support Forces RSF vinageuka na kuongezeka kwa umwagaji damu wakati juhudi za kusitisha vita zimekwama, na migogoro kwingineko imetawala mtizamo wa dunia. - Reuters #sudan #omdurman #vita #raia #rsf #wapiganaji #jeshi #khartoum #jimbo #vifo #voa #voaswahili
Watu 127, wengi wao raia wauwawa Sudan, Jumatatu na Jumanne
- 17 Jun 2025 - Siaya Resident Magistrate’s Court has ordered blogger Michael Oduor, also known as Mike Ochieng, to pay Ksh.3 million in general damages for defamation.
- 17 Jun 2025 - Anti-riot police officers on Tuesday opened fire at a hawker selling face masks at close range along Moi Avenue in Nairobi CBD during the demonstrations calling for the resignation of Deputy Inspector General Eliud Lagat.
- 17 Jun 2025 - Seven police officers suspected of shooting and killing Daniel Mwangi in London Estate, Nakuru, on June 9, have been detained for seven more days, pending investigations by Independent Policing Oversight Authority (IPOA).
- 17 Jun 2025 - Court rules that Mr Wilfred Nyagudi suffered reputational harm as a result of the posts which first appeared on Facebook.
- 17 Jun 2025 - A protester was reportedly shot dead in the CBD.
- 17 Jun 2025 - Karua said killing of man in CBD was “another extra judicial execution.”
- 17 Jun 2025 - Despite a heavy presence of police in Kisumu, the city did not witness any demonstrations
- 17 Jun 2025 - Images seen by the Star, show the deceased shot at close range by a police officer
- 17 Jun 2025 - The matatu operators promised to halt transport services until their demands are met.
- 17 Jun 2025 - NAIROBI CBD protests: Man fatally shot on Moi Avenue; tension high outside Bliss Medical Centre where he was rushed after the incident.