- 11,636 viewsDuration: 3:25Wakazi wa maeneo mbalimbali ya jiji la Nairobi wanakadiria hasara ya mamilioni ya pesa baada ya mvua kubwa iliyonyesha usiku wa kuamkia jumamosi kusababisha mafuriko na hasara. Magari yalisombwa na maji huku makazi, biashara, hospitali na shule kadhaa zikiharibiwa. Walioathirika sasa wanailaumu serikali kwa kuruhusu ujenzi usiofuata sheria karibu na mito na kwenye mikondo ya maji