Watu milioni 4 hatarini kufa kwa Ukimwi
Dunia inaweza kukumbwa na vifo milioni 4 zaidi vinavyotokana na Ukimwi kufikia mwaka 2029, kwasababu ya kukatizwa kwa misaada muhimu na Marekani.
Haya ni kwa mujibu wa ripoti mpya ya Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Ukimwi la UNAIDS.
Ripoti hiyo pia imesema katika kipindi hicho, kunaweza kuwa na maambukizi mapya milioni 6.
Hii ina maana gani kwa mataifa ya Afrika na je, yana uwezo wa kujikimu bila ufadhili huu?
Kwa haya na mengine mengi, ungana na Hamida Abubakar mwendo wa saa tatu usiku katika Dira ya Dunia TV, kumbuka kutembelea ukurasa wetu wa youtube utatupata mubashara andika tu bbcswahili
#bbcswahili #afya #HIV
12 Jul 2025
- Nyachae had previously been shortlisted to become the new chair of the IEBC.
12 Jul 2025
- Karua has been in politics for close to three decades.
12 Jul 2025
- Her sentiments come in the wake of the heightened youth killings.
12 Jul 2025
- Clinicians in Machakos County have officially called off a planned strike just two hours before its scheduled commencement, which was to start at midnight on Saturday.
12 Jul 2025
- Nyachae had previously been shortlisted to become the new chair of the IEBC.
12 Jul 2025
- Iranian authorities carried out on Saturday a public execution of a man convicted of raping and murdering a young girl, the judiciary said.
12 Jul 2025
- There was no proof of the allegations that the land was a road reserve or public property.
12 Jul 2025
- The maintenance exercise will take six hours from 4am to 10am.
12 Jul 2025
- The cop went viral for criticising CS Murkomen for urging police to shoot violent protesters looting people's properties.
12 Jul 2025
- Julia Njoki was arrested on July 7 during nationwide protests against police violence and government corruption, held on the anniversary of Saba Saba Day, which commemorates Kenya’s struggle for multi-party democracy.
12 Jul 2025
- Karua has been in politics for close to three decades.
12 Jul 2025
- It was a witty moment when Dorcas Gachagua, the spouse of the former Deputy President and a well-known
12 Jul 2025
- Her sentiments come in the wake of the heightened youth killings.