Skip to main content
Skip to main content

Watu sita wafariki kwenye ajali ya barabarani Manyatta, kaunti ya Taita Taveta

  • | Citizen TV
    3,447 views
    Duration: 1:26
    Watu sita wamefariki papo hapo baada ya dereva wa basi la kampuni ya Chania Executive kupoteza mwelekeo na kuanguka katika eneo la Manyatta, kaunti ya taita taveta.