- 7 views
Watu walio na ulemavu katika kaunti ya Kisumu wanalalamika kuhusu kile wanaochosema ni kutengwa katika nyadhifa za uongozi pamoja na uteuzi katika serikali ya kaunyi hiyo na hata kiwango cha kitaifa wakikariri kuwa wana uwezo wa kuongoza. Wakihutubia wana-habari mjini Kisumu, Wakenya hao walio changamoto za kimwili walilalamika kwamba kwa muda mrefu wamebaguliwa kwenye uteuzi katika serikali za kaunti na ile ya kitaifa. Wakati huo huo wametoa wito kuwe na sera za kuwashirikisha kwenye siasa.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Watu walio na ulemavu walalamika kutengwa Kisumu
- 18 Apr 2025 - Two joint Somali-U.S. airstrikes killed 12 al Shabaab militants in central Somalia and destroyed a ship carrying weapons for the al Qaeda-linked group, the Somali government said on Thursday, following recent advances by the Islamists.
- 18 Apr 2025 - A still-convalescing Pope Francis said Thursday he was doing "as best I can" as he visited inmates at Rome's central jail before Easter.
- 18 Apr 2025 - Matiang'i has been engaged as an employee of the World Bank based in Washington DC.
- 18 Apr 2025 - In a region long plagued by service delivery delays and missed opportunities, a quiet but impactful shift is taking place, ushered in not with grand fanfare but through technology that now delivers national identity cards within just seven days. While…
- 18 Apr 2025 - Sudan has implored MPs to use their constitutional mandate to stop President William Ruto from interfering with its internal affairs. Sudan, while lamenting the hosting of the Rapid Support Forces (RSF), alleged that Kenya is set to invite the…
- 18 Apr 2025 - PS Oluga faces SHA challenges as he takes over office
- 18 Apr 2025 - Mbadi, Nyoro differ on Kenya's debt situation
- 18 Apr 2025 - Gangland: Signs that gangs are running fearless show
- 18 Apr 2025 - Beja is the new millionaire in town
- 18 Apr 2025 - Nakuru and KDF boxers shine in Kenya Open Championships