Skip to main content
Skip to main content

Watu wawili wamefariki baada ya kubugia pombe ya sumu Meru

  • | Citizen TV
    793 views
    Watu wawili wamefariki, huku wengine watano wakiwa katika hali mahututi hospitalini baada ya kunywa pombe haramu inayokisiwa kuwa na sumu katika Kijiji cha Ngitana, Igembe Kaskazini kaunti ya Meru.