- 5,968 viewsDuration: 2:35watu wawili wameuwawa katika kijiji cha Luanda kaunti ya Vihiga baada ya kupigwa risadi na maafisa wa polisi. Tukio hili likijiri kufuatia mzozo uliozuka baada ya waendeshaji bodaboda mjini humo kudai kuhangaishwa na polisi na kukamatwa kiholela.