Wauguzi walivyosaidi watoto wachanga katika tetemeko la ardhi
Angalia video ikiwaonesha wauguzi wawili nchini China walivyokuwa wawalinda watoto wachanga wakati tetemeko kubwa la ardhi lilipopiga nchi jirani ya Myanmar siku ya Ijumaa.
CCTV kutoka Wodi ya wazazi huko Ruili, mji wa China karibu na mpakani, inaonyesha mwanamke mmoja akipiga magoti kumlinda mtoto mchanga, huku muuguzi mwingine akiwashikilia watoto wengine kwenye vitanda vyao.
Wauguzi na watoto wachanga walifanikiwa kutoka bila kujeruhiwa.
#bbcswahili #mynmar #china
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
16 Jun 2025
- The police constable who was first arrested in connection to Ojwang's death has spoken up.
16 Jun 2025
- The weatherman has also listed regions that are expected to experience cold temperatures.
16 Jun 2025
- The late Albert Ojwang's father revealed details of a phone conversation with the president.
17 Jun 2025
- According to Pastor John Njoroge from PISGHA Academy, the medical camp had come at the right time, as families were undergoing untold suffering.
17 Jun 2025
- Jerop's Russian partner told her that his ailing father wanted to meet their one-year-old daughter.
17 Jun 2025
- Ruto government had promised to double allocation and raise number of beneficiaries.
17 Jun 2025
- Rotten at the top: Inside the deadly secrets of Central Police Station
17 Jun 2025
- Embattled Lagat bows to pressure, leaves office
17 Jun 2025
- Mukhwana: I was following my boss' orders
17 Jun 2025
- How 'Standard' covered the Ojwang' murder
17 Jun 2025
- Meeting state force with care: How medics, lawyers and counsellors sprang to action
17 Jun 2025
- Power wrangles rock Kaimosi Friends University over VC job
17 Jun 2025
- Firm opposes DPP plan to withdraw Sh918m case against businessman