- 145 views
Kiza bado kimetanda kuhusiana na mgomo wa madaktari nchini, huku maafisa wakuu wa chama cha madaktari wakisusia mkutano uliopaniwa kutia saini mkataba wa kusitisha mgomo huo jana mchana. Kwenye mkutano na wanahabari baada ya saa za kusubiri, mawaziri na magavana waliokuwa kwenye mkutano huo wameafikia kuwapa madaktari muda hadi leo mchana kuafikia mkataba huo. Kwa mujibu wa pande zote mbili, yote yaliafikiwa kwenye mkutano wa pamoja wa Jumapili isipokuwa swala la malipo na kutumwa kwa madaktari wanafunzi. Haya yanajiri huku maafisa kliniki wakijiandaa kufanya maandamano makubwa katika barabara tofauti za jiji la Nairobi hii leo.
Wawakilishi wa KMPDU wakosa kufika kwenye kikao
- - NTV Kenya LIVE ››
- - Duniani Leo ››
- 5 Aug 2025 - Political analysts maintain that the 2027 politics will revolve around the President and his estranged deputy.
- 5 Aug 2025 - Can the President's wife sue him?
- 5 Aug 2025 - Enquiries revealed that two plots were used as collateral to acquire a loan on which the borrowers defaulted.
- 5 Aug 2025 - Education Cabinet Secretary Julius Ogamba finds himself increasingly sidelined by his own Principal Secretaries.
- 5 Aug 2025 - Can the President's wife sue him? The limits of immunity in Kenya's Constitution
- 5 Aug 2025 - Kebs deal with Japanese firm for car inspections under scrutiny
- 5 Aug 2025 - Why civil society wants Hustler Fund scrapped
- 5 Aug 2025 - Will Kenya Kwanza's scorecard be enough to win Ruto a second term?
- 5 Aug 2025 - Kenyan athletes focused on Tokyo Worlds despite Chan fever
- 5 Aug 2025 - Why US ballooning public debt is a key concern for Kenya