- 112 views
Kizaazaa kimeshuhudiwa katika mahakama ya Machakos leo mchana baada ya maafisa wa usalama wa kaunti kuvamia kikao cha mahakama na kumkamata kwa nguvu mwakilishi wadi wa Kalama Bonface Maeke. Maeke na wawakilishi wadi wenzake kadhaa ambao kwa muda sasa wamekuwa wakikosoa uongozi wa serikali ya kaunti walikuwa wamefika mahakamani kumsindikiza mwenzao Doughlas Musyoka , mwakilishi wadi wa masii. Musyoka alikamatwa jana na maafisa wa kaunti kuwa kudaiwa kufanya ujenzi wa nyumba bila kibali hitajika.
Wawakilishi wadi watofautiana na uongozi wa Gavana katika kaunti ya Machakos
- 1 Jul 2025 - The ICT Authority Board has formally revoked the reappointment of Chief Executive Officer Stanley Kamanguya, citing multiple procedural irregularities in the renewal process.
- 1 Jul 2025 - The Milimani Anti-Corruption Court has ruled that a Nairobi City Water and Sewerage Company (NCWSC) employee has a case to answer over charges of forgery to secure employment.
- 1 Jul 2025 - The High Court has issued temporary orders barring the ICT Authority Board from terminating the employment of CEO Stanley Kamanguya, pending the hearing and determination of a petition he has filed.
- 1 Jul 2025 - Kenya and the United Kingdom have renewed their strategic partnership, setting the momentum for more bilateral trade and investment.
- 1 Jul 2025 - Nairobi City County has recorded its highest revenue collection since the onset of devolution, hitting KSh 13.7 billion for the 2024/2025 financial year.
- 1 Jul 2025 - Members of Parliament are moving swiftly to enact a law aimed at shielding themselves and other institutions from future public demonstrations.
- 1 Jul 2025 - Former Deputy President Rigathi Gachagua has dared President William Ruto to arrest him or deny him freedom of movement in and outside the country.
- 1 Jul 2025 - The High Court has ordered the Director of Criminal Investigations (DCI), Mohammed Amin, to personally appear in court on Thursday, July 3, to explain the whereabouts of missing blogger Ndiang'ui Kinyagia.
- 1 Jul 2025 - Kajiado sets UHC milestone with SHA registrations
- 1 Jul 2025 - A study has highlighted the devastating effects of Trump's fund cuts.