- 125 viewsDuration: 1:02Onyo kali imetolewa kwa wazazi katika eneo bunge la Kabuchai kaunti ya Bungoma kuwa watachukuliwa hatua kali za kisheria iwapo hawatatii agizo la serikali la kuhakikisha kila mwanafunzi ni sharti ahudhurie masomo. Akizungumza kwenye mkutano wa agm katika shule ya msingi ya Sichei Rc, chifu wa kata ya Khachonge, Donald Kimingichi amesema serikali haitaruhusu wanafunzi kusalia nyumbani akiwatahadharisha wazazi kuwa watafikishwa mahakamani iwapo watapatikana.